Maskini:Mbunifu wa Nembo ya Taifa Anaishi Maisha Duni Sana

Husika na kichwa cha habari hapo juu,Mzee Francis Ngosha ndie mchoraji na mbunifu wa nembo ya taifa hivi sasa anaishi maisha ya kichokoraa huko Buguruni jijini Dar es salaam. Kibanda anachoishi ni cha hovyo sana ni kama banda la kuku limezungushwa na Bati juu mpaka chini.

Serikali msaidieni huyu mzee ni muhimu sana kwa historia ya taifa letu haipendezi kuwatelekeza na ukizingatia hivi sasa afya yake si nzuri na uzee kwa kweli anahitaji msaada.



Chanzo: Itv habari.

Related Posts

Post a Comment