Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Artificial Intelligence(AI), Gas Economy New Tanzania Priorities in 2024/25

RC Makonda Aagiza Chid Mapenzi, Mume wa Shamsa Ford Akamatwe Haraka..!!!

                      
Mume wa msanii wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford waliyefunga ndoa hivi karibuni, Chid Mapenzi ametajwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwamba ni miongoni mwa watu wanaotuhumiwa kujihusisha na matumizi ya madawa ya kulevya na kuagiza akakamatwe na polisi haraka iwezekanavyo.
Makonda ameyasema hayo kwenye mkutano na waandishi wa habari, uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Posta jijini Dar ambapo ametangaza kwamba anayo orodha nyingine ya watu 97 wanaotuhumiwa kuhusika na biashara ya madawa ya kulevya.
Pia mtu mwingine aliyetajwa ni Ayubu Mfaume ambapo naye anatakiwa kukamatwa haraka iwezekanavyo.      







COMMENT AND SHARE................................!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube