Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Artificial Intelligence(AI), Gas Economy New Tanzania Priorities in 2024/25

Messi Afanya Kufuru., Aamua Kununua Nyumba ya Jirani Yake Baada ya Kukerwa na Kelele..:;

                  
Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi (29) amenunua nyumba ya jirani yake katika eneo la Castelldefels, mjini Barcelona anapoishi kwa sababu walikuwa wakimsumbua kwa kelele.
Taarifa hizo zimeelezwa na mchezaji mwenzake wa Barca, Ivan Rakitic aliyesema kuwa Messi amekuwa akikerwa na kelele za jirani yake huyo hivyo kuamua kuinunua nyumba hiyo ili jirani aondoke na kuamuachia yeye na familia yake.     






COMMENT AND SHARE.............................!!!!!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube